manaiki akiwa na barnaba na amin
8/07/2013 09:10:00 PM
No comments
![]() |
barnaba,manaiki na amin |
sikusote ukiwa unajuwa kuishi na watu vizuri maisha yako yatakuwa happy, marafiki wa aina zote utapata. mimi huwa napenda sana kujishusha lakini wasanii wenzangu kumbe wananichukulia manaiki ze don hahahaa asante mungu kwa kunipa uvumilivu wa sanaa, najuwa nitafika mbali zaidi hapo niko na ndugu zangu ..... barnaba and amini.
Post ya kwanza ya Nando kwa mashabiki wake kupitia mtandao wa instagram
8/03/2013 11:43:00 AM
No comments
Picha: Army Nando akiwa na mama yake mzazi LA, Califonia mara baada ya kutolewa katika mashindano ya BBA
8/03/2013 11:40:00 AM
No comments
Baada ya kutolewa katika mashindano ya BBA 2013,kwa kukiuka sheria za Biggie na kukutwa na kisu, mkasi pamoja na maneno ya vitisho dhidi ya mshiriki kutoka Ghana (Elikem), Army Nando ameshatua LA, Califonia, na kukutana na mama yake mzazi "Nancy Assenga" ambae pia ni meneja wake pamoja na mkurugenzi wa Swahili TV "Alex Kasuwi"
Nando akiwa na mama yake mzazi
kutoka kushoto ni Mayor wa LA, Deo Temba, Army Nando, Nancy Assenga (Mama mzazi na manager wake) pamoja na mkurugenzi mtendaji wa Swahili TV Bwana Alex Kassuwi
Forbes Africa imetoa Forbes Africa magazine model list Flaviana Matata ndani: Noma Sanaaa
8/03/2013 11:37:00 AM
No comments

Ikiwa imetangazwa siku chache zilizopita, Forbes Africa imetoa list ya ma-model wakali na wanaofanya vizuri, na model matata kutoka Tanzania "Flaviana Matata" ndani.
Ikiongozwa list na model mdogo mwenye miaka 21 kutoka Angola "Maria Borges" 2013 imemfanya kuwa hot model na mkali kwenye catwalk.
Forbes Africa Magazine ambalo limetoka August 1lina list ya ma-model wengine ambao wako karibu kukamata nafasi ya kwanza ya hotest model ambao ni Ajak Deng (Sudan), Grce Bol (Sudan), Candice Swanepoel (South Africa), Liya Kebede (Ethiopia), Katryn Kruger (South Africa) na mshiriki wa Miss Universe kutoka Tanzania (Flaviana Matata)
Maria Borges
Picha: Wasanii na watangazaji walivyo futari na Raisi na familia yake Ikulu Dar
8/02/2013 10:27:00 AM
No comments
Wasanii mbali mbali na watangazaji walipata kualikwa ikulu jijini Dar, kwa ajili ya kuftari na Mh Raisi pamoja na familia yake.mara baada ya kuftari Mh Kikwete aliongea mawili matatu ikiwa ni pamoja na kuwapa moyo wasanii kwa kuendeleza sanaa maana hata yeye anapenda kusikiliza miziki yao
B12
Fetty
Dj Mully B
Jafarai na inspector Haroon
Qchief na Babu Tale
Mwasiti, Fetty na Shilole
Chege, Nyandu Tozi na Madee
Kassim Mganga
Adama Mchomvu
Ben Pol (wa pili kutoka kulia)
Linex (wa kwanza kulia)
Looking good MashAllah, TID, Jafarai na Z Anto
Mzee mkorofi, Suma Lee
hahahaa Mbwiga nae hakukosa
Shekh AY na Ali Kiba
Marlow na Sam Misago
Feruz na Fela
Lamar na P Funk
Quick kama sio yeye loooool
Hemedi Phd
Adama Juma
Dogo Asley
King Crazy GK
Shilole
Subscribe to:
Posts (Atom)
Labels
Popular Posts
-
::XDEEJAYZ-TANZANIA::: ANGALIA SEHEMU NYETI ZA IRENE UWOYA LIVE BILA KING'AMUZIKI, WATU WAPIGWA NA BUTWAA..!
-
http://xdeejayz.blogspot.com/2014/05/mkude-simba-wa-937-e-fm-azidi-kuwa.html?m=1
-
https://www.blogger.com/blog-this.g?t&u=http://thesuperstarstz.blogspot.com/2014/05/kilichosababiisha-kifo-cha-adam.html?m%3D1&n=THE...
-
NIKIWA NA MTU WANGU WA NGUVU MILLARD AYO. NI INTERVIEW KWENDA MBELE...NASHUKURU MUNGU KAZI YANGU KUPOKELEWA KWA KIASI KIKUBWA NAMNA HII...
-
Moto waajabu walipuka bila kujuwa nini kimeleta moto huo fatiliya ujuwe chanzo🚒🚒🚒🚒Ԇ...
-
I WAS THERE... JUST TO MAKE SURE EVERYTHING GOES WELL AND IT TURNED OUT TO BE THE BEST EVENT EVER...THANKS KINONDONI TARENT SEARCH TRUL...