OPEN LETTER FROM MANGWAIR - MSWAKI FT. EUNICE


Kabla rapper Ngwea hajafariki, moja ya producer aliekuwa anafanya nae kazi ni producer, ambapo kazi hii ilikuwa ni kwa ajili ya Ngwea, na ilikuwa imebaki yeye tu kuja kuingiza verse zake kwababu chorus tayari ilikua ishaingizwa, lakini baada ya habari hizi mbaya kutufikia (kifo cha Ngwea), Mswaki ameamua kuingiza sauti yake mwenyewe na kutimiza kile alichokuwa anataka kukifanya Ngwea. ukisikiliza hii ngoma kama hujaambiwa kaimba nani, lazima utajua ni Ngwea kumbe ni Mswaki..R.I.P Ngwea




0 comments:

Post a Comment